Psalms 8:5-8


5 aUmemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,
ukamvika taji ya utukufu na heshima.


6 bUmemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;
umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.

7 cMifugo na makundi yote pia,
naam, na wanyama wa kondeni,

8 dndege wa angani na samaki wa baharini,
naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.

Copyright information for SwhKC